Taarifa iliyotolewa na Amnesty International Jumatatu, inasema zaidi ya raia 100 waliuawa mashariki mwa Congo mwaka 2024. Ripoti hiyo inaeleza kuwa Jeshi la Congo pamoja na waasi wa M23 wanahusika na ...
MAREKANI : RAIS wa Marekani Donald Trump amepanga kuwaondoa kazini zaidi ya watu 1,000 walioteuliwa na utawala wa Rais wa zamani Joe Biden. Miongoni mwa watu watakaoondolewa kazini ni mpishi mashuhuri ...