Haya hapa mambo matatu yaliyoifanya Stars kuvuka raundi ya pili. Ubora wa kikosi cha Stars ulichangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha ushindi wa timu hiyo inasakata rekodi nyingine ya kufuzu WAFCON.
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi ameelekeza mambo manne kwa wanachama wa chama hicho wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka ...