Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo anatarajiwa kuongoza wakuu wa nchi wengine wa Afrika katika majadiliano ya pamoja kwenye Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika 'Mission 300'.
Serikali kadhaa katika Pembe ya Afrika na Mashariki mwa Afrika zinadaiwa kupuuza haki za binadamu za kimsingi na kutumia vurugu kukandamiza wakosoaji wao, imesema ripoti ya shirika la Human Rights ...