搜索优化
English
搜索
Copilot
图片
视频
地图
资讯
购物
更多
航班
旅游
酒店
房地产
笔记本
Top stories
Sports
U.S.
Local
World
Science
Technology
Entertainment
Business
More
Politics
时间不限
过去 1 小时
过去 24 小时
过去 7 天
过去 30 天
按相关度排序
按时间排序
Mtanzania
7 小时
JKCI kuwafikishia wananchi wengi huduma za kibingwa
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), imesema itahakikisha wananchi wengi wanafikiwa na huduma za kibingwa za uchunguzi na ...
Mtanzania
6 小时
Majaliwa awataka vijana kutumia fursa uwekezaji wa TEHAMA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kutumia fursa ya uwekezaji unaofanya na Serikali katika sekta ya TEHAMA ili ...
Mtanzania
1 天
Serikali kusimamia shughuli za Uchumi wa Buluu
Serikali imesema itaendelea kusimamia na kuratibu kwa ufanisi shughuli za Uchumi wa Buluu nchini ili kuhakikisha wananchi ...
Mtanzania
2 天
Balozi Dk. Nchimbi: Demokrasia na haki za kiraia kuendelea kuimarika chini ya Rais Samia
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, ameithibitishia Jumuiya ya Kimataifa kuwa masuala ...
Mtanzania
1 天
Mchengerwa awataka wakuu wa mikoa kusimamia sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa
Mtanzania Mchengerwa awataka wakuu wa mikoa kusimamia sheria na kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa - Featured ...
Mtanzania
1 天
TRA yazindua Ofisi kwa walipa kodi binafsi wa hadhi ya juu
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua rasmi Ofisi Maalum kwa Walipa Kodi Binafsi wa Hadhi ya Juu, ikiwa ni hatua ya kuboresha huduma kwa kundi la walipa kodi wenye mchango mkubwa katika uchumi wa ...
Mtanzania
2 天
Asilimia 51 waliopewa ajira mgodi wa North Mara ni wakazi wa Tarime
Meneja Mahusiano wa mgodi wa dhahabu Barrick North Mara, Francis Uhadi, amesema asilimia 51 ya ajira katika mgodi huo ...
Mtanzania
2 天
Tamasha la Ufunuo Lafana: Wachungaji zaidi ya 450 wahudhuria ibada ya Shincheonji Jeonju
Mtanzania Tamasha la Ufunuo Lafana: Wachungaji zaidi ya 450 wahudhuria ibada ya Shincheonji Jeonju - Afya na Jamii ...
Mtanzania
1 天
Mradi wa Umeme wa JNHPP mbioni kuzalisha Megawati 900
Serikali imeeleza kuwa Mradi wa Bwawa la Kuzalisha Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) sasa una uwezo wa kuzalisha megawati 700 ...
Mtanzania
2 天
Mbeya, Tanga kuzalisha tani milioni 4 za saruji
Akizungumza leo Oktoba 15,2024 Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu, amesema Serikali itashirikiana na mbia huyo kujenga ...
Mtanzania
2 天
Waziri Silaa: Tunaendelea kuwekeza kwenye TEHAMA
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amesema Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Teknolojia ya ...
Mtanzania
2 天
Waziri atoa maelekezo FITI
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dk. Pindi Chana amekielekeza Chuo cha Viwanda vya Misitu Moshi (FITI) kujitangaza ili ...
一些您可能无法访问的结果已被隐去。
显示无法访问的结果
反馈